Wednesday, July 13, 2011

story bomba

Hapa ni Ubungo taa za barabarani zikiwa zimezimika kutokana na kukatika umeme  na kusababisha matatizo ya foreni kubwa. bado mgao wa umeme unalitesa taifa nakusababisha kudorola kwa shughuli tofauti tofauti.

Hivi ndivyo inavyoonekana  sanamu ya MAYUNGA katika  uwanja wa MASHUJAA  baada ya kufanyiwa 

ukarabati
Hii ni baada ya kufunguka na kuwakumbusha wahusika juu ya umuhimu wa Uwanja huo katika kipindi cha POLE NA KAZI kwa ki kristu tunasema "THAT IS DEVELOPMENT" shukrani kwa DEVID UNDERSON na PIUS KAMANZI waandaaji wa kipindi hiki kwa kuliona hili na mwisho uwanja huu umekarabatiwa. its done   

 Picha ya juu inamwonyesha mchezaji wa AZAM FC na Timu ya Taifa MRISHO NGASA akigombea mpira na beki wa MAN U ,Fabio. katika mchezo wakirafiki. Ngasa yupo kwenye majaribio katika club ya GEATTLE ya Marekani.
  
David beckam amefanikiwa kupata mtoto wakike aliyempatia jina la up7. Beckam amesema ameamua kumpa jina hilo kutokana na number ya jezi yake aliyokuwa akitumia wakati yupo man u.wakati huo huo victoria mkewe Beckam amesema hayupo tayari kuendelea kumzalia mchezaji huyo kwamaana hiyo up7 ndiye atakuwa mtoto wa mwisho wa Beckam.

No comments:

Post a Comment